Pages

Wednesday, April 4, 2012

RIHANA KAGOMA KUKAA MBALI NA CHRIS BROWN


Ukiachana na kupigwa mkwala na management yake ya Roc nation ambayo ipo chini ya rapper Jay Z ili asiwe karibu na Chris, Rihana alifunguka na kusema kwamba hawezi  kukaa mbali na Chris na alisema kwamba wamuacha aishi maishi yake and design kama alisema kwamba wanafanyisha kazi sana 

No comments:

Post a Comment

wibiya widget