Friday, April 27, 2012
Thursday, April 26, 2012
Wiz Khalifa said he would be collaborate with West because "it's about the culture and the creativity factor."
Wiz Khalifa alifunguka kwamba hana any bad fealings na Kanye na yupo tayari hata kufanya goma na Kanye kama atapewa beat na msanii huyo. Wiz khalifa alisema hivyo alikuwa akifaniwa interview na "MTV's Hip-Hop POV,"
Wednesday, April 25, 2012
Monday, April 23, 2012
Drake Says He Has No Interest In Making Dance Music
Sunday, April 22, 2012
Tuesday, April 17, 2012
Monday, April 16, 2012
Friday, April 13, 2012
Thursday, April 12, 2012
Tuesday, April 10, 2012
Sunday, April 8, 2012
EVE DROPING A NEW SINGLE AT THE END OF THE MONTH
Eve alisema ataachia a single mwisho mwa mwenzi huu alipokuwa akihojiwa na thewomenofhiphop.com,
Alisema atachia dat single ili mashabiki wake wasione kama amewatupa
Alisema atachia dat single ili mashabiki wake wasione kama amewatupa
Saturday, April 7, 2012
Friday, April 6, 2012
Thursday, April 5, 2012
SWISS BEATS CHEATING ALICIA KEYS
Worse enough ni kwamba Mashonda alifunguka na kusema ni kweli and kwamba she is paying back to Alicia
akidai eti alianza date na Swiss wakati bado hajaachana nae.
Kweli wanaume hawaridhiki jamani mtoto kama Alicia Keys bado unaenda nje mmmh
Wednesday, April 4, 2012
SCOTT STORCH KUSHITAKIWA TENA KWA MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA
Producer Scott anashitakiwa na Treena Ruberg kuwa aliendelea kutumia madawa na hii ni baada ya kuzingua kufanya kazi ya mwanamama huyo wakati pesa kashachukuwa, Producer huyu amekuwa akishitakiwa sana kwa matumizi ya dawa za kulevya,Scott alikili kuchukuwa pesa ya mwanamama huyo na kusema atakuwa kashamaliza kazi iyo kabla ya october japo Treena aligoma na kutaka arudisjiwe pesa yake na fidia kwa muda alioupoteza na usumbufu wa kumtafuta producer mwingine
50 CENT KAJA NA LABEL MPYA (G-NOTE)
50 cent alisema G-unit ipo pale pale and dealing na mziki wa hip hop kama kawa lakini alisema G-note ni kwa
ajili ya kuwasadia wasanii wengine wanaoimba mziki tofauti na rap kama pop and r&b alikazia.Zoezi la kuwasignisha new artist lishaanza , but mmmmmmmh 50 na pop wapi na wapi au na yeye anaona hip hop aiuzi kama Madee nini
Subscribe to:
Posts (Atom)