Ilikuwa katika kipindi ya MKASI kinachorushwa na eatv.Kipindi hiki
kinaongozwa na Salam, Madam alifunguka ni jinsi gani watu wanvyokuwa
wanafika kwake ili waweze pata chochote kwake. Madam hakuwataja watu
hao kwa majina lakini alimmwagia sifa nyingi Salam kama ni mtu ambaye yupo
so straight forward kama unakosea anakuchana live bila kujali what will
loose au utafiria vipi
Madam pia alifunguka pia ni jinsi gani anachukizwa na tabia watu wanaoleta
sana kujuana. Alisema yani mtu anakuganda mpaka anakukwaza just because anakujua
kinaongozwa na Salam, Madam alifunguka ni jinsi gani watu wanvyokuwa
wanafika kwake ili waweze pata chochote kwake. Madam hakuwataja watu
hao kwa majina lakini alimmwagia sifa nyingi Salam kama ni mtu ambaye yupo
so straight forward kama unakosea anakuchana live bila kujali what will
loose au utafiria vipi
Madam pia alifunguka pia ni jinsi gani anachukizwa na tabia watu wanaoleta
sana kujuana. Alisema yani mtu anakuganda mpaka anakukwaza just because anakujua
No comments:
Post a Comment